Staa anayekimbiza na Wimbo wa Nimempta, Pam D akiwa katika pozi.
Kwa mujibu wa Pam D, safari hiyo itafanyika ndani ya mwezi huu huku lengo kuu ni kwenda kufanya ngoma na msanii mkubwa mmojawapo nchini humo.
"Ninafuraha kwani malengo yangu huenda yakatimia na kuwa msanii wa kike pekee kufanya kolabo na Wanaijeria. Kama mambo yakienda inavyotakiwa basi Watanzania wategemee kumsikia Pam D wa kimataifa," alisema Pam D.
No comments:
Post a Comment