Diamond Platnumz na Ambwene Yessayah 'AY' Watesa Chati za muziki Majuu


Muziki wa Tanzania upo mahali pazuri kwa sasa. AY, Diamond Platnumz na wasanii wengine wanaiwakilisha vyema nchi yetu kimataifa.

Wasanii hao wamekamata nafasi za kwanza wiki hii kwenye top ten za chart za muziki wa Afrika katika vituo vikubwa viwili vya runinga.

Diamond Platnumz amekamata nafasi ya kwanza kwenye African Top 10 ya Trace International na wimbo wake Ntampata Wapi.

Naye AY amekamata nafasi ya kwanza kwenye chart ya Africa Rox Countdown ya Soundcity kwa wimbo wa 'Touch Me' aliowashirikisha Sean Kingston na Ms Triniti


No comments:

Post a Comment

Peruzi Kurasa.

Designed By Seo Blogger Templates Published.. Blogger Templates