MKE WA KITIME AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR




Muonekano wa kaburi la marehemu Janeth Joan Kitime baada ya kuzikwa siku ya leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Mwanamuziki mkongwe, John Kitime akiweka maua katika kaburi la mke wake.
Mmoja wa ndugu akijiandaa kuweka maua.
Kitime katikati akiwa na watoto wake wawili Ivan (kushoto) na Tina (kulia).
Wana familia wakiwa mbele ya kaburi la marehemu baada ya kuzika.


No comments:

Post a Comment

Peruzi Kurasa.

Designed By Seo Blogger Templates Published.. Blogger Templates