
Mwanamitindo wa Kimataifa, Flaviana Matata.
Chanzo makini kutoka Atlanta, kimesema taratibu zote zimeshafanyika na kilichobaki ni siku ifike watu washerekehe.

Flaviana Matata akipozi.
"Nadhani kwa mwaka huu ndiyo itakuwa harusi ya kwanza ambayo itaacha historia kwa kuwa waoaji wamejipanga kisawasawa," kilisema chanzo chetu huku mtu wa karibu na Flaviana akithibitisha tukio hilo na kudai litakuwa la kihistoria.
Stori: Na Imelda Mtema; GPL.

No comments:
Post a Comment