Wanafunzi wakutwa wakifanya Uchafu baharini





Tukio Hilo Limetokea Mchana mchana na wote hao walikuwa ni wanafunzi wa shule moja maarufu katikati ya Jiji  Dar es salaam,

inasemekana siku hiyo hawakwenda shule kabisa , kwani mashuhuda wanadai walikuwepo maeneo hayo toka mida ya asubuhi wakitembea pembezoni mwa bahari huku wakichezeana na kucheka cheka , baadae walianza kuogelea na kufanya huo uchafu ambapo report aliweza kuwapiga picha bila wenyewe kujua .


No comments:

Post a Comment

Peruzi Kurasa.

Designed By Seo Blogger Templates Published.. Blogger Templates