Staa wa Nigeria, Davido anaamini kuwa ana maadui tena maadui wengi ambao wanajaribu kumshusha kutoka kwenye mafanikio aliyonayo.
Hii si mara ya kwanza kwa Davido kulalamika kupitia Twitter juu ya watu ambao hawamtakii kheri, au aliowasaidia na baadae kusahau. Hata hivyo hajamtaja mtu yeyote hivyo haijulikani maadui anaowataja ni kina nani.
Davido anatarajiwa kutumbuiza nchini Kenya March 28.

No comments:
Post a Comment