Matokea ya Yanga na Polisi FC Kombe la Mapinduzi Haya Hapa


Team ya Yanga Imezidi Kusonga mbele na kujihakikishia Ubingwa Kwenye Kombe la Mapinduzi Baada ya Kuifunga Polisi FC mabao manne hivyo kuingia Robo fainal, Yanga kwa sasa ina mabao manane baaya ya mchezo wa Kwanza pia kupata mabao manne..

Mabao katika Mchezo wa Jana yalifungwa na Andriy Coutinho , Kper Sherman , Hamisi Tambwe na Simon Msuva.


No comments:

Post a Comment

Peruzi Kurasa.

Designed By Seo Blogger Templates Published.. Blogger Templates